Faida ya mbolea ya super gro




 SUPERGRO ni mbolea ya maji, ya asili isiyo na kemikali sumu 


Imetengenezwa kwa magome ya miti na kinyesi cha ndege


Unaweza itumia


👉🏼Kupandia-mimea inachipua mapema ndani ya siku 1-2


👉🏼Kukuzia -mimea inakua haraka na ina kuwa na afya bora 

na

 

👉🏼Kubebeshea-mimea inabeba haraka na kwa wingi mazao yenye ukubwa sawa na mzuri/uzito mzuri/rangi na ladha nzuri


Inatumika kidogo sana 


✅Kwa kila Lita 1 ya maji utachanganya na SuperGro 1cc


Yaani kama pampu yako ina ujazo wa Lita 16 utachanganya na SuperGro 16cc , kama ina Lita 20 utachanganya na SuperGro 20cc


Inatumika kwenye misimu yote


✅Kiangazi

👉🏼Utapiga mara 1 kila baada ya siku 7


✅Masika

👉🏼Utapiga mara 1 kila baada ya siku 14

Post a Comment

0 Comments